Pergi ke luar talian dengan aplikasi Player FM !
DRC:Rais Felix Tchisekedi awataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba
Manage episode 452780309 series 1189205
Miongoni mwa yale utakayoyasikia kwenye habari ni pamoja na Rais wa DRC, Felix Tschisekedi, kuwataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba, , Chama tawala cha CCM nchini Tanzania chaongoza kwa asilimia 99 ya kura.Zaidi ya watu 100 hawajulikani walipo baada ya ajali ya maporomoko ya Udongo nchini Uganda,pia Tutaangazia ziara yake Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, nchini Ufaransa, Raia wa Namibia wapiga kura, kisha kimataifa tutaangazia mkutano wa Mawaziri wa mambo ya nje kutoka muungano wa G7,uliofanyika mjini Roma Italia.
24 episod
Manage episode 452780309 series 1189205
Miongoni mwa yale utakayoyasikia kwenye habari ni pamoja na Rais wa DRC, Felix Tschisekedi, kuwataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba, , Chama tawala cha CCM nchini Tanzania chaongoza kwa asilimia 99 ya kura.Zaidi ya watu 100 hawajulikani walipo baada ya ajali ya maporomoko ya Udongo nchini Uganda,pia Tutaangazia ziara yake Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, nchini Ufaransa, Raia wa Namibia wapiga kura, kisha kimataifa tutaangazia mkutano wa Mawaziri wa mambo ya nje kutoka muungano wa G7,uliofanyika mjini Roma Italia.
24 episod
All episodes
×
1 Kizza Besigye wa Uganda ashtakiwa kwa uhaini, Kenya na Sudan zatofautiana kuhusu RSF 19:58

1 Mkutano wa AU kuhusu mzozo wa DRC, waasi wa M23 waudhibiti mji wa Bukavu 20:12

1 Mkutano wa pamoja kati ya SADC na EAC kuhusu DRC 20:10

1 Juhudi za kimataifa katika kusaka amani ya mashariki mwa DRC 20:14

1 Kuapishwa kwa Rais wa Marekani Donald Trump kwa muhula wa pili 20:15

1 Israeli na wapiganaji wa Hamas wakubaliana kusitisha vita huko Gaza 20:12

1 Mapigano mashariki mwa DRC, ziara ya rais Ruto nchini Angola na mengineyo 20:12

1 Mwaka mpya wa 2025 na matarajio ya ulimwengu kuhusu usalama amani na maendeleo 20:16

1 Polisi wa Kenya wasambaratisha maandamano, hotuba ya Tshisekedi bungeni DRC 20:09

1 Ziara ya rais Joe Biden huko Angola, watano wahukumiwa kifo huko DRC 20:18

1 DRC:Rais Felix Tchisekedi awataka raia wa nchi yake kuunga mkono mabadiliko ya katiba 19:58

1 Maaskofu wa kikatoliki nchini Kenya wakosoa utawala, Rwanda yamaliza Marbug 20:09

1 Uchaguzi wa Marekani, mapigano DRC, kampeni za Raila kuwania uenyekiti wa tume ya AU 20:15

1 Kithure Kindiki aapishwa kuwa makamu wa rais Kenya, ziara ya rais wa DRC nchini Uganda 20:19

1 Rais Tshisekedi asema katiba ya Congo itarekebishwa, kesi ya naibu rais wa Kenya 20:12
Selamat datang ke Player FM
Player FM mengimbas laman-laman web bagi podcast berkualiti tinggi untuk anda nikmati sekarang. Ia merupakan aplikasi podcast terbaik dan berfungsi untuk Android, iPhone, dan web. Daftar untuk melaraskan langganan merentasi peranti.